Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Siriaki, Largi na wenzao

Sanamu ya Mt. Siriaki akifukuza pepo.

Siriaki, Largi na wenzao Kreshensiani, Memia, Juliana na Smaragdo (walifariki Roma, Italia, 16 Machi 306) ni kati ya mashahidi wa imani ya Kikristo waliouawa wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Siriaki alikuwa shemasi na mzinguaji.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 8 Agosti[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya