Tarehe 15 Machi ni siku ya 74 ya mwaka (ya 75 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 291.
Matukio
Waliozaliwa
1713 - Nicolas-Louis de Lacaille , mwanaastronomia kutoka Ufaransa
1760 - Mtakatifu Yohane wa Triora , padre Mfransisko , mmisionari na mfiadini nchini Uchina
1767 - Andrew Jackson , Rais wa Marekani 1829 -1837
1830 - Paul Heyse , mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi , mwaka wa 1910
1831 - Mtakatifu Daniele Comboni , mmisionari na askofu Mkatoliki nchini Sudan
1854 - Emil von Behring , mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba , mwaka wa 1901
1871 - Charles Howard McIlwain , mwanahistoria kutoka Marekani
1920 - Donnall Thomas , daktari kutoka Marekani , mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba , mwaka wa 1990
1930 - Martin Karplus , mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia , mwaka wa 2013
1946 - Hezekiah Ndahani Chibulunje , mwanasiasa wa Tanzania
1952 - Willy Puchner , msanii kutoka Austria
1975 - Eva Longoria , mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma , huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Menigni , Papa Zakaria , Leokrisya , Sisebuto , Luisa wa Marillac , Klemens Maria Hofbauer , Artemis Zatti n.k.
Viungo vya nje
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu . Je, unajua kitu kuhusu 15 Machi kama enzi zake au matokeo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari .