Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Potamoni, Ortasi na Serapioni

Potamoni, Ortasi na Serapioni (walifariki Aleksandria, 341/345) walikuwa mapadri wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani sahihi pamoja na waumini thelathini na nne waliopinga Uario[1].

Wanaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki, Waorthodoksi na Wakatoliki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 18 Mei[2][3].

Tazama pia

Tanbihi

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/53770
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  3. https://catholicsaints.info/saint-potamon-of-heraclea/
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya