Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Gabrieli Taurin Dufresse

Mt. Gabrieli akisali.

Gabrieli Taurin Dufresse, M.E.P. (Ville-de-Lezoux, Ufaransa, 8 Desemba 1750 - Chengdu, Sichuan, 14 Septemba 1815) alikuwa askofu mmisionari wa Kanisa Katoliki nchini China aliyefia Ukristo kwa kukatwa kichwa baada ya miaka 40 ya utume wenye bidii [1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao ya pamoja huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia

Tanbihi

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya