Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page
Available for Advertising

Daraja takatifu

Askofu akitoa daraja ya upadri

Daraja takatifu katika madhehebu mbalimbali ya Ukristo ni jina la vyeo vya askofu, kasisi na shemasi vinavyounda uongozi wa Kanisa.

Katika Kanisa Katoliki na ya Waorthodoksi ngazi hizo tatu zinaunda kwa pamoja mojawapo ya sakramenti saba ambazo Yesu Kristo alizianzisha na kulikabidhi Kanisa lake.

Baadhi ya Waprotestanti wana huduma hizo lakini kwao si sakramenti.

Jina

Katika Kigiriki daraja zinaitwa taxeis, na katika Kilatini ordines, kwa sababu waliopewa wanaunda kundi moja.

Ibada ilivyo

Tangu zamani za Mitume wa Yesu mamlaka inashirikishwa kwa tendo la kumwekea mtu mikono kichwani, kufuatana na mfano wa Musa kwa Yoshua katika Agano la Kale.

Tendo hilo linafuatana na sala maalumu ambayo, katika kumuomba Roho Mtakatifu amshukie mhusika, inaweka wazi daraja gani inatolewa.

Anayetoa daraja

Kwa kawaida mwenye jukumu la kutoa daraja takatifu ni askofu wa jimbo (dayosisi), ingawa historia ya Kanisa inasababisha maswali kadhaa juu ya jambo hilo hasa upande wa daraja za chini.

Anayeweza kupewa

Ni imani ya Kanisa Katoliki, ya makanisa ya Waorthodoksi na ya madhehebu mengine kadhaa kwamba daraja zinaweza kutolewa kwa wanaume tu, kwa sababu Yesu aliteua watu wa jinsia hiyo tu awape mamlaka yake ambayo inashirikishwa kwa daraja hizo, na kwa sababu ndiyo mapokeo ya Kanisa tangu mwanzo.

Waprotestanti wanazidi kukubali wanawake katika nafasi zote za uongozi, wakisisitiza usawa wa wafuasi wa Yesu.

Katika Kanisa Katoliki na makanisa ya Waorthodoksi wanaopewa daraja wanaweza wakadaiwa pia hali na ahadi ya useja mtakatifu. Ni hivyo walau kuhusu uaskofu, lakini pengine hata kuhusu upadri.

Hali ya kudumu

Sawa wa sakramenti za Ubatizo na Kipaimara, katika imani ya Wakatoliki daraja takatifu zinamtia mwamini alama isiyofutika ya kikuhani aweze kumtolea Mungu ibada katika liturujia na katika maisha yake yote.

Kwa maana hiyo daraja inadumu ndani ya mtu hata akiacha kutoa huduma au kuasi kabisa.

Misingi ya imani ya Wakatoliki na Waorthodoksi katika Biblia

Sakramenti za Wakatoliki na Waorthodoksi

Kadiri ya imani hiyo, daraja takatifu zinahitajiwa kabisa na Kanisa kwa sababu kazi ya wokovu haimtegemei binadamu, bali Mungu. “Hapana mtu ajitwaliaye mwenyewe heshima hii, ila yeye aitwaye na Mungu, kama vile Haruni. Vivyo hivyo Kristo naye hakujitukuza nafsi yake kufanywa kuhani mkuu” (Eb 5:4-5), bali alisisitiza alivyopewa na Baba uwezo wa kutuokoa. “Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote mkononi mwake” (Yoh 3:35). “Kama vile ulivyompa mamlaka juu ya wote wenye mwili, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele” (Yoh 17:2). Kisha kufufuka alitumia mamlaka hiyo kuwatuma wanafunzi kumi na mmoja waliobaki: “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi. Na tazama, mimi nipo pamoja nanyi sikuzote, hata ukamilifu wa dahari” (Math 28:18-20). Mpaka mwisho wa dunia uwezo huo wa Kimungu utatolewa tu kwa sakramenti ya daraja, inayounganisha mtu na Mitume kupitia mlolongo usiokatika wa kuwekewa mikono ili kushirikishwa mamlaka. Bila yake, kuna upungufu katika ufundishaji, utoaji wa sakramenti na uongozi.

Wenye daraja wanastahili heshima kwa sababu ya mamlaka ya Kiroho waliyonayo kutoka kwa Kristo. “Amin, amin, nawaambieni: Yeye ampokeaye mtu yeyote nimpelekaye, anipokea mimi; naye anipokeaye mimi ampokea yeye aliyenipeleka” (Yoh 13:20). “Jaribu lililowapata katika mwili wangu hamkulidharau wala kulikataa, bali mlinipokea kama malaika wa Mungu, kama Kristo Yesu” (Gal 4:14). “Uwakumbushe watu kunyenyekea kwa wenye uwezo na mamlaka, na kutii” (Tito 3:1). Wenye daraja wanaotimiza kazi zao vizuri wanastahili heshima kwa uaminifu wao pia. “Wazee watawalao vema na wahesabiwe kustahili heshima maradufu, hasa hao wajitaabishao kwa kuhutubu na kufundisha” (1Tim 5:17).

Wenye daraja wanaweza wakatenda dhambi kwa sababu ni binadamu kama sisi sote. Yesu alionja ukosefu wa Mitume hasa wakati wa mateso. “Je, mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?” (Yoh 6:70). “Tazama, saa yaja, naam, imekwisha kuja, ambapo mtatawanyika kila mmoja kwao, na kuniacha mimi peke yangu” (Yoh 16:32). Mtume Paulo alionya mapadri, “Katika ninyi wenyewe watainuka watu, wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao” (Mdo 20:30).

Kadiri ya Injili ili tuwe na wachungaji wengi waaminifu tunapaswa hasa kusali. “Mwombeni Bwana wa mavuno, apeleke watenda kazi katika mavuno yake” (Math 9:38). Halafu yanahitajika maandalizi ya muda mrefu, juhudi na ushirikiano wa kidugu. “Asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi... Jitunze nafsi yako, na mafundisho yako. Dumu katika mambo hayo; maana kwa kufanya hivyo utajiokoa nafsi yako na wale wakusikiao pia... Usimwekee mtu mikono kwa haraka, wala usizishiriki dhambi za watu wengine” (1Tim 3:6; 4:16; 5:22).

Wanawake hawawezi kupewa daraja, kwa sababu kwa karibu miaka elfu mbili mfululizo Kanisa limejiona halina mamlaka ya kufanya tofauti na Yesu. Yeye alichagua wanaume tu kuwa Mitume wake, ingawa walikuwepo wanawake waaminifu kuliko wengi wao, hasa Bikira Maria, mtakatifu kuliko wote. “Petro, na Yohane, na Yakobo, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo wa Alfayo, na Simoni Zelote, na Yuda wa Yakobo. Hawa wote walikuwa wakidumu kwa moyo mmoja katika kusali, pamoja nao wanawake, na Mariamu mama yake Yesu, na ndugu zake... Wakaweka wawili, Yusufu, aitwaye Barsaba, aliyekuwa na jina la pili Yusto, na Mathiya... kura ikamwangukia Mathiya; naye akahesabiwa kuwa pamoja na mitume kumi na mmoja” (Mdo 1:13-14,23,26). “Walimchagua Stefano, mtu aliyejaa imani na Roho Mtakatifu, na Filipo, na Prokoro, na Nikanori, na Timoni, na Parmena, na Nikolao mwongofu wa Antiokia; ambao wakawaweka mbele ya mitume, na walipokwisha kuomba wakaweka mikono yao juu yao” (Mdo 6:5-6).

Kutoa daraja kwa wanaume tu si kuwakosea haki wanawake, kwa kuwa hizo ni huduma zinazofaidisha wote. “Maana aliye mkubwa ni yupi? Yeye aketiye chakulani, au yule atumikaye? Siye yule aketiye chakulani? Lakini mimi kati yenu ni kama atumikaye” (Lk 22:27). Mwenye daraja anahudumia Kanisa kwa kumwakilisha Yesu; hivyo anatakiwa kuwa mwanamume kama yeye mbele ya Bibiarusi wake. Kukubali mgawanyo wa majukumu maishani ni kusifu hekima ya Mungu aliyetuumba watu wa jinsia mbili tofauti ili kustawisha familia, jamii na Kanisa. “Walakini si mwanamke pasipo mwanamume, wala mwanamume pasipo mwanamke, katika Bwana... Basi ninyi mmekuwa mwili wa Kristo, na viungo kila kimoja peke yake” (1Kor 11:11; 12:27).

Mwenye daraja anaweza kuwa na ndoa. “Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?” (1Kor 9:5). Paulo, akiwa mseja, hakudai kila mmojawao aoe, ila asiwe ameoa mara mbili, bali “mume wa mke mmoja” (1Tim 3:2; Tit 1:6), kama alivyoagiza mjane aandikishwe akiwa tu “mke wa mume mmoja” (1Tim 5:9). Polepole mang’amuzi yakaelekeza Kanisa kubana nafasi hiyo kwa Maaskofu, na katika majimbo mengi kwa mapadri pia. Useja mtakatifu unawalinganisha zaidi na Yesu na kuwaachia uhuru wa moyo na wa muda kwa ajili ya huduma. “Wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee” (Math 19:12).

Vyeo vingine visivyo sakramenti

Katika madhehebu mbalimbali kuna vyeo tofauti na daraja takatifu, ambavyo vilianzishwa na Kanisa kulingana na mahitaji ya mahali na nyakati, kama vile vya Patriarki, Kardinali, Askofu mkuu, Korepiskopo, Paroko, Vartan, Mwenyekiti n.k.

Katika Kanisa Katoliki cheo cha kwanza ni kile cha Papa , ambacho kinategemea na kudai sakramenti ya daraja katika ngazi ya uaskofu kwa sababu ni kukabidhiwa jimbo la Roma kama mwandamizi wa Mtume Petro aliyefia huko.

Imani ya Kanisa hilo ni kwamba cheo hicho, ingawa si sakramenti, ni mpango wa Yesu aliyetaka mitume wake wawe kundi moja chini ya Petro, hivyo waandamizi wao wawe kundi moja chini ya mwandamizi wa Petro, yaani maaskofu wote duniani wawe kundi moja chini ya mkuu wao, askofu wa Roma.

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Daraja takatifu kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Read other articles:

2010 children's novel by Pseudonymous Bosch This article has multiple issues. Please help improve it or discuss these issues on the talk page. (Learn how and when to remove these template messages) This article does not cite any sources. Please help improve this article by adding citations to reliable sources. Unsourced material may be challenged and removed.Find sources: This Isn't What It Looks Like – news · newspapers · books · scholar · JSTOR (Octo...

Brazilian singer-songwriter (born 1976) This biography of a living person needs additional citations for verification. Please help by adding reliable sources. Contentious material about living persons that is unsourced or poorly sourced must be removed immediately from the article and its talk page, especially if potentially libelous.Find sources: Alexandre Pires – news · newspapers · books · scholar · JSTOR (December 2017) (Learn how and when to remov...

Cinema ofBrazil List of Brazilian films Brazilian Animation Pre 1920 1920s 1930s 1930 1931 1932 1933 19341935 1936 1937 1938 1939 1940s 1940 1941 1942 1943 19441945 1946 1947 1948 1949 1950s 1950 1951 1952 1953 19541955 1956 1957 1958 1959 1960s 1960 1961 1962 1963 19641965 1966 1967 1968 1969 1970s 1970 1971 1972 1973 19741975 1976 1977 1978 1979 1980s 1980 1981 1982 1983 19841985 1986 1987 1988 1989 1990s 1990 1991 1992 1993 19941995 1996 1997 1998 1999 2000s 2000 2001 2002 2003 20042005 20...

КенігсмакерKœnigsmacker   Країна  Франція Регіон Гранд-Ест  Департамент Мозель  Округ Тьйонвіль Кантон Мецервісс Код INSEE 57370 Поштові індекси 57970 Координати 49°23′38″ пн. ш. 6°16′39″ сх. д.H G O Висота 148 - 306 м.н.р.м. Площа 18,4 км² Населення 2278 (01-2020[1]) Густота 115,11 о...

Porträt von John Baskerville Titelblatt, gedruckt von John Baskerville Heutige Baskerville-Schrift John Baskerville (* 28. Januar 1706 in Wolverley; † 8. Januar 1775 in Birmingham)[1] war ein englischer Typograf, Schreibmeister, Drucker und Mitglied der Royal Society of Arts. Inhaltsverzeichnis 1 Leben 2 Literatur 3 Weblinks 4 Einzelnachweise Leben John Baskerville lebte seit 1726 als Schreibmeister und Steinschneider in Birmingham. Ein auf Japanlack spezialisiertes Lackierunterneh...

Спартакрос. Спартак Жанр драмаРежисер Вадим ДербеньовЮрій ГригоровичСценарист Юрій ГригоровичВадим ДербеньовУ головних ролях Володимир ВасильєвОператор Вадим ДербеньовВіктор ПіщальниковКомпозитор Арам ХачатурянХудожник Валентин ВирвичСимон ВірсаладзеКінокомпа...

باتشانو   الاسم الرسمي (بالإيطالية: Paciano)‏    الإحداثيات 43°01′00″N 12°04′00″E / 43.016666666667°N 12.066666666667°E / 43.016666666667; 12.066666666667  [1] تقسيم إداري  البلد إيطاليا[2]  التقسيم الأعلى مقاطعة بِرُوجَة  خصائص جغرافية  المساحة 16.91 كيلومتر مربع (9 أكتوبر 2011)...

Sri Lankan cricket team in the Netherlands in 2006    Sri Lanka NetherlandsDates 4 July – 6 JulyCaptains Mahela Jayawardene Luuk van TroostOne Day International seriesResults Sri Lanka won the 2-match series 2–0Most runs Tillakaratne Dilshan (183) Darron Reekers (84)Most wickets Kaushal Lokuarachchi (7) Darron Reekers (4) The Sri Lankan cricket team toured Netherlands from 4 to 6 July 2006. The tour was for two One Day Internationals (ODIs) between Sri Lanka and Netherlands...

Jaap de Hoop Scheffer Jakob Gijsbert Jaap de Hoop Scheffer (lahir 3 April 1948) ialah seorang politikus Belanda. Ia adalah anggota partai Kristen Demokrat CDA dan pernah menjabat sebagai Menteri Luar Negeri Belanda. Sejak tahun 2004 ia menjabat sebagai Sekretaris Jenderal NATO. Pada tahun 2009, ia digantikan oleh Anders Fogh Rasmussen. Wikimedia Commons memiliki media mengenai Jaap de Hoop Scheffer. Didahului oleh:Enneüs Heerma Ketua Fraksi Banding Kristen Demokrat di Dewan Perwakilan1997-20...

 Nota: Se procura pela língua da família linguística pano, falada pelos poianauas, veja Língua poianaua. Puyanawa Crianças Puyanawa População total 745[1] Regiões com população significativa  Brasil (AC) 745 2014 (Siasi/Sesai) Línguas português puyanawa Religiões Os Poianauas (Puyanawa) são um grupo indígena que habita o extremo oeste do estado brasileiro do Acre, mais precisamente na Terra Indígena Poyanawa, localizada no Município de Mâncio Lima. O primeiro regis...

Pour les articles homonymes, voir stratégie (homonymie). D'après le TLFi, la stratégie est un « ensemble d'actions coordonnées, d'opérations habiles, de manœuvres en vue d'atteindre un but précis[1] ». Son but est d'atteindre le ou les objectifs fixés par la politique (l'idée générale) en utilisant au mieux les moyens à disposition[2]. Initiée par l'art militaire, la stratégie se décline dans de nombreux domaines d'affrontement ou de compétition tels que les entrep...

У Вікіпедії є статті про інші значення цього терміна: Каратель. Каратель ІсторіяВидавець Marvel ComicsДебют The Amazing Spider-Man #129 (лютий 1974)Автор(и) Джеррі Конвей, Росс Ендрю та Джон Роміта-старшийХарактеристикиСправжнє ім'я Френсіс КастільонеАльтер его Френсіс «Френк» КаслПозиція А

Méliès d'or Méliès d'or 2023 Description Meilleur film européen fantastique ou de science-fiction Organisateur European Fantastic Film Festivals Federation Date de création 1996 (longs métrages)2002 (courts métrages) Dernier récipiendaire Vanishing Waves (Aurora) de Kristina Buozyte Site officiel http://www.melies.org/ modifier  Le Méliès d'or est une récompense créée en 1995 et décernée depuis sa première édition en 1996 dans le cadre de l'European Fantastic Film Festi...

Kato Snauwaert Plaats uw zelfgemaakte foto hier Persoonlijke informatie Volledige naam Kato Snauwaert Nationaliteit Belgische Lengte 173cm Sportieve informatie Discipline Volleybal Positie Spelverdeler Seizoen Club 1997-19991999-? Rembert Torhout Asterix Kieldrecht Isola Tongeren Landskampioen ▷ Eredivisie: 1998 Beker ▷ Beker van België: 1998, 1999 & 2000 Portaal    Volleybal Kato Snauwaert is een Belgisch voormalig volleybalster. Levensloop Snauwaert was actief bij Rembert...

  关于与「王傑 (歌手)」標題相近或相同的条目,請見「王傑」。 本條目存在以下問題,請協助改善本條目或在討論頁針對議題發表看法。 此生者传记条目需要补充更多可供查證的来源。 (2022年5月2日)请协助補充可靠来源,无法查证的在世人物内容将被立即移除。 此條目以編年體裁記載人物事蹟。 (2018年1月17日)維基百科不建議使用年表形式記述人物,請協助改善條...

Species of bird Lineated barbet on a fig tree (Ficus racemosa) Conservation status Least Concern (IUCN 3.1)[1] Scientific classification Domain: Eukaryota Kingdom: Animalia Phylum: Chordata Class: Aves Order: Piciformes Family: Megalaimidae Genus: Psilopogon Species: P. lineatus Binomial name Psilopogon lineatus(Vieillot, 1816) Synonyms Megalaima lineata The lineated barbet (Psilopogon lineatus) is an Asian barbet native to the Terai, the Brahmaputra basin to Southeast Asia....

Национализм в России — совокупность российских националистических политических идеологий и систем убеждений. На территории России присутствуют формы как гражданского, так и этнического национализма. Этнический национализм имеет некоторое распространение как в ср...

Some of this article's listed sources may not be reliable. Please help this article by looking for better, more reliable sources. Unreliable citations may be challenged or deleted. (May 2021) (Learn how and when to remove this template message) Princess of Joseon Princess Yeonghye영혜옹주Princess of JoseonBorn1858Jongno-gu, Hanseong, Kingdom of Joseon (Currently Jongno-gu, Seoul, South Korea)Died4 July 1872 (aged 14)Kingdom of JoseonSpouse Park Yung-hyo, Prince Consort Geumneung ​&#...

English Benedictine CongregationAbbreviationPost-nominal letters: O.S.B.NicknameEBCFormation1216TypeBenedictinesHeadquartersUnited KingdomRegion served UK, United States, Peru, ZimbabweMembers 246 monastics (as of 2020)Abbot PresidentChristopher Jamison, O.S.B.Parent organizationBenedictine Confederation; Roman Catholic ChurchWebsitewww.benedictines.org.uk The English Benedictine Congregation (EBC) unites autonomous Roman Catholic Benedictine communities of monks and nuns and is technically t...

Association of breeders of bantam poultry American Bantam AssociationFormation1914[1]PurposePoultry FancyLocationAugusta, NJRegion served U.S. & CanadaPresidentMatt LhamonAffiliationsAmerican Poultry AssociationWebsitebantamclub.com The American Bantam Association is a poultry fancy association for breeders of bantam poultry. It publishes the Bantam Standard, with detailed descriptions of all the bantam breeds and varieties that it recognizes;[2]: 6  in mos...

Kembali kehalaman sebelumnya