Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Paul Joseph Mukungubila Mutombo

Joseph Mukungubila Mutombo

Paul Joseph Mukungubila Mutombo (alizaliwa KisaĆ¢la, yaani Kisala, mkoa wa Tanganyika, 26 Desemba 1947) ni mchungaji wa Kipentekoste na mwanasiasa wa Kongo.

Anaongoza " Kanisa la Bwana Yesu Kristo "  lililoko Kinshasa. Anajitambulisha kama " nabii wa Bwana "  kwa " huduma ya kurejesha kutoka Afrika nyeusi " .

Wafuasi wake wanamtangaza kuwa kiongozi aliyetangazwa na unabii wa Simon Kimbangu na Bitawala (au Kitawala) juu ya ujio wa uhuru wa kweli wa DRC.

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya