Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Maria wa Yesu Santocanale

Picha halisi ya Mt. Maria wa Yesu.

Maria wa Yesu Santocanale (jina la awali: Carolina Santocanale; Palermo, Sicilia, Italia, 2 Oktoba 1852Cinisi, Italia, 27 Januari 1923) alikuwa mwanzilishi wa shirika la Masista Wakapuchini wa Imakulata wa Lourdes ili wamsaidie kuhudumia maskini.

Papa Fransisko alimtangaza mwenye heri tarehe 12 Juni 2016, halafu mtakatifu tarehe 15 Mei 2022.

Sikukuu yake ni tarehe 27 Januari.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Kembali kehalaman sebelumnya