Kabla ya hapo alikuwa mmonaki tena mkaapweke karibu na Lucca. Waumini walikwenda kumtafuta upwekeni awe askofu wao. Alikusanya waklero waishi monasterini.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.