Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Enda wa Aran

Enda wa Aran (pia: Éanna, Éinne au Endeus; Meath, 450 hivi – Killeaney, 530 hivi) alikuwa mtemi na askari katika nchi ya Ireland ambaye, kwa shauri la dada yake, Fanchea, akawa mmonaki na padri .

Anatajwa kama baba wa umonaki wa Ireland kwa sababu alianzisha monasteri mbalimbali, hasa ile maarufu ya Aran, hivi kwamba watakatifu wengi walihusiana nazo[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 21 Machi[2].

Tazama pia

Tanbihi

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92018
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
Prefix: a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9

Portal di Ensiklopedia Dunia

Kembali kehalaman sebelumnya