Bashar Hafez al-Assad (kwa Kiarabu: بشار حافظ الأسد 'Baššār Ḥāfiẓ al-ʾAsad'; amezaliwa 11 Septemba1965) ni mwanasiasa wa Syria ambaye amekuwa Rais wa Syria tangu tarehe17 Julai2000. Kwa kuongezea, ni kamanda mkuu wa Jeshi la Siria na Katibu wa Mkoa wa tawi la Chama cha Waajemi la Ba'ath nchini Syria.
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bashar al-Assad kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.